Kulingana na Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlulbayt (as) -ABNA-, Ayatollah Reza Ramezani, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlulbayt (a.s), aliyesafiri Niger kwa mwaliko wa viongozi wa kidini wa nchi hiyo, alikutana na Abubakar Shaib, Khalifa wa Tijaniyya, mjini Niamey, Mji Mkuu wa Niger katika Afrika ya Magharibi.

29 Mei 2025 - 10:08

Habari Pichani | Mkutano wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlulbayt (a.s) na Khalifa wa Tijaniyya katika Mji Mkuu wa Niger

Your Comment

You are replying to: .
captcha