Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Hafla ya kuvalishwa amama kwa kundi la Wanafunzi wa Dini kutoka tawi la Jamiat Al-Mustafa (s) nchini Niger imefanyika kwa kuhudhuriwa Ayatollah Ramezani, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (as).
31 Mei 2025 - 21:20
News ID: 1694345
Your Comment