Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Mkutano Mkuu wa wajumbe wa ulinganiaji (Mubalighina) na wahitimu wa Sayansi za Kiislamu nchini Niger umefanyika katika Mji wa "Niamey", Mji Mkuu wa nchi hiyo. Mkutano huo ulihudhuriwa na Mwenyekiti wa Jumuiya za Kiislamu wa Niger pamoja na Kiongozi wa Tarika ya Tijaniyya nchini humo. Mgeni maalumu wa Mkutano huu alikuwa Ayatollah Reza Ramezani, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (as).

31 Mei 2025 - 21:32

Ripoti ya Picha | Mkutano Mkuu wa Wajumbe wa Ulinganizi na Wahitimu wa Sayansi za Kiislamu wa Niger kwa Kuhudhuriwa na Ayatollah Ramezani + Picha

Your Comment

You are replying to: .
captcha