Masomo waliyofanyia mitihani ni kama yafuatayo: 1_Vyanzo vya Sunna Tukufu. 2_Misingi ya Lugha ya Kiarabu (مبادئ العربية) – Sehemu ya 2 (Nahau).

11 Juni 2025 - 11:57

Siku ya Pili ya Mitihani ya Mwisho wa Muhula wa Kwanza katika Shule ya Imam Zayn al-‘Abidin (A.S) – Burundi + Picha

Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Leo tarehe 11 Juni, 2025, Wanafunzi wa Hawzah ya Imam Zayn al-‘Abidin (A.S) nchini Burundi wamefanya Mitihani ya siku ya pili ya mwisho wa muhula wa kwanza. 

Masomo waliyofanyia mitihani ni kama yafuatayo:

1_Vyanzo vya Sunna Tukufu.

2_Mazungumzo ya Kiarabu.

3_Sira ya Ahlul-Bayt (A.S).

4_Uandishi na Tahajia.

5_Misingi ya Lugha ya Kiarabu (مبادئ العربية) – Sehemu ya 2 (Nahau).

Your Comment

You are replying to: .
captcha