Shirika la Habari la Ahlul-Bayt (as) - Majlisi za Muharram katika kuomboleza Kifo cha Kishahidi cha Imam Hussein (as) zimeanza Leo Nchini Tanzania. Moja ya Husseiniyyah zilizohuisha Siku ya Kwanza ya Muharram ni Husseiniyyah ya Imam Mahdi (as) Tabora - Tanzania.
27 Juni 2025 - 00:01
News ID: 1702247
Your Comment