Majlis hii iliambatana na Mashairi ya Maombolezo, Masimulizi ya historia ya Karbala, na ujumbe wa kusimama imara kwa ajili ya Haki, kama wanavyotufundisha Ahlul-Bayt (a.s) wa Mtume Muhammad (s.a.w.w).

4 Julai 2025 - 16:47

Nafasi Tukufu ya Ali Akbar (a.s) - Kijana wa Imam Hussein (a.s) - Mcha Mungu, Jasiri, na Mwenye Kufanana zaidi na Mtume Muhammad (s.a.w.w) + Picha

Shirika la Habari la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Leo, Alhamisi, 4 Julai 2025, Maombolezo kwa ajili ya kuadhimisha Shahada ya Imam Hussein (a.s) yamefanyika katika Taasisi ya Kimataifa ya Al-Mustafa (s), Dar es Salaam, Tanzania.

Nafasi Tukufu ya Ali Akbar (a.s) - Kijana wa Imam Hussein (a.s) - Mcha Mungu, Jasiri, na Mwenye Kufanana zaidi na Mtume Muhammad (s.a.w.w) + Picha


Mzungumzaji akiwa: Sheikh Suleiman. Mada: Ali Akbar (as).

Katika mawaidha haya, Sheikh Suleiman alieleza kuhusu nafasi tukufu ya Ali Akbar (a.s) - kijana wa Imam Hussein (a.s) - aliyekuwa Mcha Mungu, Jasiri, na Mwenye kufanana zaidi na Mtume Muhammad (s.a.w.w) kwa Maumbile, Mazungumzo na tabia njema.

Nafasi Tukufu ya Ali Akbar (a.s) - Kijana wa Imam Hussein (a.s) - Mcha Mungu, Jasiri, na Mwenye Kufanana zaidi na Mtume Muhammad (s.a.w.w) + Picha

Majlis hii iliambatana na Mashairi ya Maombolezo, Masimulizi ya historia ya Karbala, na ujumbe wa kusimama imara kwa ajili ya Haki, kama wanavyotufundisha  Ahlul-Bayt (as) wa Mtume Muhammad (s.a.w.w).

Nafasi Tukufu ya Ali Akbar (a.s) - Kijana wa Imam Hussein (a.s) - Mcha Mungu, Jasiri, na Mwenye Kufanana zaidi na Mtume Muhammad (s.a.w.w) + Picha

Waumini na Wanafunzi walihudhuria kwa wingi wakionyesha mapenzi yao makubwa kwa Imam Hussein (a.s) na Kizazi Kitukufu cha Mtume Muhammad (s.a.w.w).

Your Comment

You are replying to: .
captcha