Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt(as) -ABNA- Matembezi ya Amani ya A'shura Jijini Arusha - Tanzania Yalioandaliwa na Taasisi ya Sayyid Al_Shuhadaa yalifanikiwa kwa mafanikio makubwa yakiambatana na Kauli Mbiu: (Amani ni Msingi wa Maisha).
7 Julai 2025 - 17:00
Msimbo wa Habari: 1705392

Maoni yako