Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Sheikh Abdallah Khamis Salum akiwahutubia waumini na wale wote waliokua wakiyaona na kuyasikia maandamano ya amani katika kumbukizi ya Shahada ya Imamu Hussein (a.s) jijini Arusha. Ni Masira ya tarehe 9 Muharam 1447H sawa na tar 5 /7/2025. Waumini wengi Wafuasi na Wapenzi wa Ahlul-Bayt (as) walijitokeza Kwa wingi katika Maandamano haya.

8 Julai 2025 - 00:46

Masira ya Tasu'a Jijini Arusha yalifanyika kwa hamasa kubwa na Waumini walijitokeza Kwa wingi kuhuisha Shahada ya Imam Hussein (as) + Picha

Your Comment

You are replying to: .
captcha