Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Katika Picha na video hizi ni Mkoani Tabora Waumini Wafuasi na Wapenzi wa Ahlul-Bayt (as) wakiwa katika kuhuisha Majlisi inayohusiana na Mateka wa Karbala. Majlisi hizi zinafanyika katika usseiniyyah ya Imam Mahdi (a.t.f.s) iliyopo katika Mkoa wa Tabora - Tanzania.

10 Julai 2025 - 14:04

Wafuasi na Wapenzi wa Ahlul-Bayt Rasulillah(s) Mkoani Tabora wakihuisha Majlisi kuhusu Mateka wa Kizazi cha Mtume(s) baada ya Mauaji ya Karbala +Video

Waumini Wafuasi na Wapenzi wa Ahlul-Bayt (as) wakiwa katika kuhuisha Majlisi inayohusiana na Mateka wa Karbala. Majlisi hizi zinafanyika katika usseiniyyah ya Imam Mahdi (a.t.f.s) iliyopo katika Mkoa wa Tabora - Tanzania.

Wafuasi na Wapenzi wa Ahlul-Bayt Rasulillah(s) Mkoani Tabora wakihuisha Majlisi kuhusu Mateka wa Kizazi cha Mtume(s) baada ya Mauaji ya Karbala +Video

Your Comment

You are replying to: .
captcha