Umoja wa Umma wa Kiislamu na Mshikamano wa Kimataifa dhidi ya dhulma, huku akisisitiza kuwa umoja na mshikamano kati ya Waislamu ni silaha madhubuti ya kulinda heshima ya Umma wa Kiislamu.

11 Julai 2025 - 22:38

Balozi wa Iran Nchini Kenya asisitiza Umoja na Mshikamano wa Umma wa Kiislamu - na kuleza jinsi Iran ilivyojitetea Kijasiri liposhambuliwa + Picha

Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Jijini Nairobi, Dkt. Ali Gholampour, leo amehudhuria Swala ya Ijumaa katika Msikiti wa Makina uliopo Kibra, Nairobi.

Balozi wa Iran Nchini Kenya asisitiza Umoja na Mshikamano wa Umma wa Kiislamu - na kuleza jinsi Iran ilivyojitetea Kijasiri liposhambuliwa + Picha

Katika tukio hilo, Dkt. Gholampour alipata fursa ya kuzungumza na jamii ya Kiislamu, ambapo alitoa hotuba kuhusu umuhimu wa Umoja wa Waislamu.

Balozi wa Iran Nchini Kenya asisitiza Umoja na Mshikamano wa Umma wa Kiislamu - na kuleza jinsi Iran ilivyojitetea Kijasiri liposhambuliwa + Picha

Aidha, alieleza kwa kifupi kuhusu matukio ya hivi karibuni katika eneo la Mashariki ya Kati, ambapo nchi yake ilishambuliwa lakini ilijitetea kwa ujasiri mkubwa.

Balozi wa Iran Nchini Kenya asisitiza Umoja na Mshikamano wa Umma wa Kiislamu - na kuleza jinsi Iran ilivyojitetea Kijasiri liposhambuliwa + Picha

Hotuba yake ilisisitiza Umoja wa Umma wa Kiislamu na Mshikamano wa Kimataifa dhidi ya dhulma, huku akisisitiza kuwa umoja na mshikamano kati ya Waislamu ni silaha madhubuti ya kulinda heshima ya Umma wa Kiislamu na amani ya jamii ya Kiislamu.

Balozi wa Iran Nchini Kenya asisitiza Umoja na Mshikamano wa Umma wa Kiislamu - na kuleza jinsi Iran ilivyojitetea Kijasiri liposhambuliwa + Picha

Your Comment

You are replying to: .
captcha