Tunawatakia mafanikio Wanafunzi wote katika mitihani yao.

21 Julai 2025 - 12:34

Taarifa Muhimu ya Kitaaluma - Mitihani ya Mwisho Kituo cha Kiislamu Al-Hadi (as) - Malawi + Picha

Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Mitihani ya mwisho wa term inaendelea katika Kituo cha Kiislamu cha Al-Hadi kilichopo Nchini Malawi.

Taarifa Muhimu ya Kitaaluma - Mitihani ya Mwisho Kituo cha Kiislamu Al-Hadi (as) - Malawi + Picha

Mitihani hii inasimamiwa na Uwakilishi wa Jamiatu Al-Mustafa (s) hapa nchini Malawi.

Tunawatakia mafanikio Wanafunzi wote katika mitihani yao.

Taarifa Muhimu ya Kitaaluma - Mitihani ya Mwisho Kituo cha Kiislamu Al-Hadi (as) - Malawi + Picha

Tumekuwekea hapo chini picha zaidi za taswira ya Utaratibu wa Mitihani unavyoendelea katika Chuo cha Kiislamu cha Al-Hadi (as) Nchini Malawi.

Your Comment

You are replying to: .
captcha