Imam Ali (a.s) amesema: “Jifunze Qur'an, kwani ndiyo mazungumzo bora kabisa, na tafakari ndani yake, kwani Qur'an ni chemchemi ya maisha ya moyo.”

24 Julai 2025 - 22:48

Qur'an ni chemchemi ya maisha ya moyo | Darasa Mahsusi la Mafunzo ya Qur'an linatolewa katika Chuo cha: Jamiatul-Mustafa (s) - Dar-es-salaam + Picha

Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA-


«خَیْرُکُمْ مَنْ تَعَلَّمَ الْقُرآنَ وَ عَلَّمَهُ»

Qur'an ni chemchemi ya maisha ya moyo | Darasa Mahsusi la Mafunzo ya Qur'an linatolewa katika Chuo cha: Jamiatul-Mustafa (s) - Dar-es-salaam + Picha


Imam Ali (a.s) amesema:
Jifunze Qur'an, kwani ndiyo mazungumzo bora kabisa, na tafakari ndani yake, kwani Qur'an ni chemchemi ya maisha ya moyo.” 

Qur'an ni chemchemi ya maisha ya moyo | Darasa Mahsusi la Mafunzo ya Qur'an linatolewa katika Chuo cha: Jamiatul-Mustafa (s) - Dar-es-salaam + Picha


«تَعَلَّموا القرآنَ؛ فإنّهُ أحسَنُ الحَدیثِ، وتَفَقَّهُوا فیهِ فإنَّهُ رَبیعُ القُلوبِ».


(Nahjul Balagha, Hotuba ya 110).

Qur'an ni chemchemi ya maisha ya moyo | Darasa Mahsusi la Mafunzo ya Qur'an linatolewa katika Chuo cha: Jamiatul-Mustafa (s) - Dar-es-salaam + Picha

Mtume wetu Muhammad (s.a.w.w) amesema:
Mbora wenu ni yule anayejifunza Qur'an na kisha kuwafundisha wengine.”


«خَیْرُکُمْ مَنْ تَعَلَّمَ الْقُرآنَ وَ عَلَّمَهُ»


 (Nahjul Fasaha, Hadithi ya 1524).

Amefaulu mwenye kuisoma Qur'an, na kuiweka katika maisha yake, na kuipa nafasi katika moyo wake.

Qur'an ni chemchemi ya maisha ya moyo | Darasa Mahsusi la Mafunzo ya Qur'an linatolewa katika Chuo cha: Jamiatul-Mustafa (s) - Dar-es-salaam + Picha

Your Comment

You are replying to: .
captcha