Idara husika ya Taaluma imesisitiza kuwa uendelevu wa mitihani hii una nafasi muhimu katika kuboresha ubora wa elimu ya chuo na kukuza wanafunzi wenye uwezo na ujuzi wa hali ya juu.

9 Agosti 2025 - 13:18

Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Mitihani ya kila wiki kwa Wanafunzi wa CHUO cha Jamiatul Mustafa (s) imefanyika Leo hii Jumamosi tarehe 09-08-2025.

Mitihani ya Kila Wiki kwa Ajili ya Kuinua Viwango vya Kielimu vya Wanafunzi wa Kidini | Jamiatul Mustafa (s) - Mbezi Beach +Picha

Mitihani ya Kila Wiki kwa Ajili ya Kuinua Viwango vya Kielimu vya Wanafunzi wa Kidini | Jamiatul Mustafa (s) - Mbezi Beach +Picha


Mitihani hii imelenga kupima maendeleo ya masomo, kubaini maeneo yenye nguvu na udhaifu, na kuinua viwango vya kielimu vya wanafunzi.

Mitihani ya Kila Wiki kwa Ajili ya Kuinua Viwango vya Kielimu vya Wanafunzi wa Kidini | Jamiatul Mustafa (s) - Mbezi Beach +Picha

Wanafunzi walijibu maswali mbalimbali kutoka kwenye mada tofauti za masomo ili kupima maandalizi yao kwa ngazi za juu zaidi za kielimu.
Idara husika ya Taaluma imesisitiza kuwa uendelevu wa mitihani hii una nafasi muhimu katika kuboresha ubora wa elimu ya chuo na kukuza wanafunzi wenye uwezo na ujuzi wa hali ya juu.

Mitihani ya Kila Wiki kwa Ajili ya Kuinua Viwango vya Kielimu vya Wanafunzi wa Kidini | Jamiatul Mustafa (s) - Mbezi Beach +Picha

Your Comment

You are replying to: .
captcha