Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (a.s) -ABNA- Mkutano wa Kimataifa wenye mada ya “Arubaini, Umoja wa Kiislamu na Masuala ya Uislamu Duniani” umefanyika katika ukumbi wa mikutano wa *Bwana Mtukufu Khātam al-Awsiyaa (s.a) ndani ya Haram Tukufu ya Imam Hussein (a.s), mjini Karbala al-Muqaddasah, kwa ushiriki wa kundi la wanazuoni kutoka nchi mbalimbali za Kiislamu, siku chache kabla ya Arubaini ya Imam Hussein (a.s).

10 Agosti 2025 - 21:35

Taarifa kwa Picha | Mkutano wa Kimataifa wa Arubaini, Umoja wa Kiislamu na Masuala ya Uislamu Duniani + Picha

Mkutano wa Kimataifa wenye mada ya “Arubaini, Umoja wa Kiislamu na Masuala ya Uislamu Duniani” umefanyika katika ukumbi wa mikutano wa Bwana Mtukufu Khātam al-Awsiyaa (s.a.w.w) ndani ya Haram Tukufu ya Imam Hussein (a.s), mjini Karbala al-Muqaddasah, kwa ushiriki wa kundi la wanazuoni kutoka nchi mbalimbali za Kiislamu, siku chache kabla ya Arubaini ya Imam Hussein (a.s).

Taarifa kwa Picha | Mkutano wa Kimataifa wa Arubaini, Umoja wa Kiislamu na Masuala ya Uislamu Duniani + Picha

Taarifa kwa Picha | Mkutano wa Kimataifa wa Arubaini, Umoja wa Kiislamu na Masuala ya Uislamu Duniani + Picha

Your Comment

You are replying to: .
captcha