Ayatollah Ramezani alitembelea baadhi ya Mawkib za kimataifa katika njia hii na kutoa shukrani kwa wale wote wanaoshiriki katika utumishi na Huruma kwa Mazuwwari wa Aba Abdillah al-Hussein (a.s).

13 Agosti 2025 - 19:34

Kulingana na Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Ayatollah Reza Ramezani, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul Bayt (a.s), ameshiriki pamoja na mamia ya Mazuwwari wa Arbaeen katika Njia ya Hussein -as- (njia ya kutembea kwa miguu kutoka Najaf hadi Karbala). 

Habari Pichani | Uwepo wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul Bayt (a.s) Katika Njia ya Matembezi ya Arbaeen ya Hussein(as) +Picha

Habari Pichani | Uwepo wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul Bayt (a.s) Katika Njia ya Matembezi ya Arbaeen ya Hussein(as) +Picha

Ayatollah Ramezani alitembelea baadhi ya Mawkib za kimataifa katika njia hii na kutoa shukrani kwa wale wote wanaoshiriki katika utumishi na Huruma kwa Mazuwwari wa Aba Abdillah al-Hussein (a.s).

Habari Pichani | Uwepo wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul Bayt (a.s) Katika Njia ya Matembezi ya Arbaeen ya Hussein(as) +Picha

Your Comment

You are replying to: .
captcha