Sheikh Mtulya: "Ni wajibu wa kila Muislamu kujihadhari na vitendo vyote vinavyosababisha Shirki na kuiepuka kwa kauli na vitendo, ili kulinda usafi wa imani na utiifu kwa Mwenyezi Mungu Mmoja".

15 Agosti 2025 - 22:37

Shirika la Habari la Ahlul-Bayt (as) - ABNA- Leo hii tarehe 15 -08-2025, Sala ya Ijumaa imeswaliwa katika Muswalla wa Jamiat al-Mustafa (s) Jijini Dar es Salaam. Khatibu wa Sala ya Ijumaa, Sheikh Mtulya, alitoa khutba yenye mada ya Shirki na Aina Zake, akieleza maana ya Shirki, madhara yake, na namna inavyopingana na misingi ya Tauhidi.

Sheikh Mtulya Aonya Kuhusu "Shirki" Katika Khutba ya Ijumaa - Jamiat al-Mustafa (s), Dar es Salaam - Tanzania +Picha

Katika maelezo yake, Sheikh Mtulya alisisitiza wajibu wa kila Muislamu kujihadhari na vitendo vyote vinavyosababisha Shirki na kuiepuka kwa kauli na vitendo, ili kulinda usafi wa imani na utiifu kwa Mwenyezi Mungu Mmoja

Sheikh Mtulya Aonya Kuhusu "Shirki" Katika Khutba ya Ijumaa - Jamiat al-Mustafa (s), Dar es Salaam - Tanzania +Picha

Sheikh Mtulya Aonya Kuhusu "Shirki" Katika Khutba ya Ijumaa - Jamiat al-Mustafa (s), Dar es Salaam - Tanzania +Picha

Your Comment

You are replying to: .
captcha