Khatibu wa Majlis (Shekh Ridhwa Dosa), aliangazia Falsafa ya Maombolezo ya Arubaini ya Imam Hussein (as) Fadhila za kumzuru Mjukuu wa Mtume (saww), Hussein bin Ali bin Abi Talib (as).

16 Agosti 2025 - 22:29

Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Leo, Tarehe 16 Agosti 2025 imefanyika Majlis ya Aba Abdillah Al-Hussein (as) katika Msikiti wa Khatamul-Anbiyaa, Mti Mmoja, Monduli - Arusha, Tanzania.

Majlisi ya Arubaini ya Imam Hussein (as) - Arusha Tanzania +Picha

Khatibu wa Majlis hii:
Shekh Ridhwa Dosa, ambapo aliangazia Falsafa ya Maombolezo ya Arubaini ya Imam Hussein (as) Fadhila za kumzuru Mjukuu wa Mtume (s.a.w.w), Hussein bin Ali bin Abi Talib (as).

Majlisi ya Arubaini ya Imam Hussein (as) - Arusha Tanzania +Picha

Your Comment

You are replying to: .
captcha