Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Ahlul-Bayt (a.s) –ABNA – Sambamba na maadhimisho ya Arubaini ya Imam Hussein (a.s) na uwepo wa Ayatullah Reza Ramezani, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (a.s) katika mji mtukufu wa Karbala, kundi la wanazuoni, wasomi na wanaharakati wa kidini na kiutamaduni kutoka nchi mbalimbali walikutana naye kwa nyakati tofauti na kufanya mazungumzo.

17 Agosti 2025 - 00:07

Mkutano wa Wanazuoni na Wasomi wa Nchi Mbalimbali na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (a.s) katika Mji wa Karbala + Picha

Your Comment

You are replying to: .
captcha