Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (a.s) –ABNA– Mkutano wa Tatu wa Kitaifa wa Kuwatambua na Kuwapongeza Wahudumu na Waendeshaji wa Misikiti kote nchini, ukiwa na kauli mbiu ya “Kama Nusrullah”, umefanyika asubuhi ya leo Jumatano, tarehe 20 Agosti, 2025 katika ukumbi wa Shabistan ya Imam Ali (a.s) ndani ya Msikiti Mtukufu wa Jamkaran (Nchini Iran), kwa kuhudhuriwa na viongozi wa kitaifa na wa kijeshi.

20 Agosti 2025 - 15:06

Your Comment

You are replying to: .
captcha