Hafla hii ilidhihirisha mshikamano wa Ummah wa Kiislamu na mapenzi ya kweli kwa Mtume Muhammad (saww), huku washiriki wakieleza furaha yao kwa kushiriki tukio hili kubwa la kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Kiongozi wa Rehma

5 Septemba 2025 - 23:45

Maelfu Wahudhuria Maulid ya Kitaifa ya Kuzaliwa kwa Mtume (s.a.w.w) Mkoani Tanga – Korogwe +Picha

Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Korogwe, Tanga - Tanzania, Maelfu ya Waumini wa Kiislamu kutoka maeneo mbalimbali ya Tanzania na nje ya nchi walijumuika kwa pamoja kusherehekea Maulid ya Kitaifa ya Kuzaliwa kwa Mtume Mtukufu Muhammad Al-Mustafa (saww) katika hafla adhimu iliyofanyika mjini Korogwe, mkoa wa Tanga.

Maelfu Wahudhuria Maulid ya Kitaifa ya Kuzaliwa kwa Mtume (s.a.w.w) Mkoani Tanga – Korogwe +Picha

Hafla hiyo ya kiroho na kihistoria iliambatana na picha na taswira mbalimbali zilizoonyesha mapokezi makubwa, mshikamano wa waumini, na hali ya furaha iliyojaa mapenzi kwa Mtume wa Ummah na Rehma kwa walimwengu wote. 

Katika Maulid hiyo, Waumini walipata fursa ya kusikiliza mawaidha ya dini, qaswida, na hotuba kutoka kwa viongozi wa dini waliogusa nyoyo za wengi kwa ujumbe wa amani, upendo, na kuenzi mafundisho ya Mtume Muhammad (saww).

Maelfu Wahudhuria Maulid ya Kitaifa ya Kuzaliwa kwa Mtume (s.a.w.w) Mkoani Tanga – Korogwe +Picha

Hafla hii ilidhihirisha mshikamano wa Ummah wa Kiislamu na mapenzi ya kweli kwa Mtume Muhammad (saww), huku washiriki wakieleza furaha yao kwa kushiriki tukio hili kubwa la kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Kiongozi wa Rehma.

Maelfu Wahudhuria Maulid ya Kitaifa ya Kuzaliwa kwa Mtume (s.a.w.w) Mkoani Tanga – Korogwe +Picha

Your Comment

You are replying to: .
captcha