Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Sambamba na usiku wa kumbukumbu ya kuzaliwa kwa heshima Bibi Zainab Kubra (sa), mkutano mkubwa wa “Wazainabiyoon” umefanyika jioni ya Jumapili, tarehe 4 Aban 1404 (sawa na 26 Oktoba 2025), katika ukumbi wa mikutano wa Musalla wa Imam Khomeini (r.a) mjini Tabriz, kwa kuhudhuriwa na wanawake wengi waliokusanyika kwa ajili ya kumbukumbu hiyo tukufu.
27 Oktoba 2025 - 20:53
News ID: 1743563

Your Comment