Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Sambamba na kuadhimisha siku za Fatimiyya, maonyesho ya kumi na tano ya “Basirat Fatimiyya” yameanza kufanyika kwa kuonesha tamthilia kuhusu dhulma, madhila, masaibu na upweke wa Bibi Fatima Zahra (S.A). Maonyesho haya yameandaliwa na kundi la kijihadi la “Roshd” kwa ajili ya kueneza elimu na maarifa sahihi ya kidini.

17 Novemba 2025 - 21:15

Habari Pichani | Maonyesho ya “Basirat Fatimiyya” huko Qom

Your Comment

You are replying to: .
captcha