
9 Septemba 2024 - 19:05
News ID: 1483996

Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Ahlul-Bayt (a.s) -ABNA- Mji wa Sana'a na Mikoa mingine ya Yemen inashuhudia sherehe za kuzaliwa Mtume Mtukufu (s.a.w.w) na msafara wa magari yaliyopambwa kwa taa zenye nuru kauli mbiu za kijani.
