Cuba
-
Marekani na Cuba zajadili uhusiano wa kidiplomasia
Marekani na Cuba zinaanza mazungumzo ya kihistoria leo kuhusu kurejesha mahusiano ya kidiplomasia baada ya kikao kilichojadili masuala ya uhamiaji kudhihirisha changamoto zilizopo katika kuondokana na uhasama wa nusu karne kati ya nchi hizo.
-
Wafungwa watano wahamishwa kutoka Guantanamo
Wizara ya ulinzi ya Marekani Pentagon, imesema kwamba wafungwa watano katika gereza la Marekani la Guantanamo wamepelekwa katika nchi nyengine. Wanne kati ya hao wamepelekwa Oman na mwengine nchini Estonia.
-
Rais wa zamani wa Marekani amsifu Obama kwa kurejesha uhusinao na Cuba
Rais wa zamani wa Marekani Jimmy Carter amesema anajisikia mwenye furaha kwa juhudi za rais Obama kurejesha uhusiano wa kidiplomasia na Cuba.
-
Hatimaye Marekani na Cuba zapatana
Baada ya zaidi ya nusu karne ya uhasama, hatimaye Marekani na Cuba zinarejesha mahusiano yao kidiplomasia, hatua ambayo imeungwa mkono na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon.