Raundi ya pili ya mazungumzo ya nyuklia kati ya Iran na Marekani imefanyika Siku ya Jumanne katika Ubalozi wa Oman uliopo mjini Geneva, Uswisi.
Mazungumzo haya yanafanyika katika hali ambayo bado kuna ukosefu wa imani, unaotokana na kile kinachoelezwa kuwa ni misimamo na tabia zinazokinzana kutoka upande wa Washington—hali ambayo inaendelea kuwa moja ya changamoto kuu katika mchakato huu wa mazungumzo.