Mwenyekiti wa JMAT, Sheikh Dkt. Alhad Mussa Salum, amesema: "Matukio ya baada ya Uchaguzi yameacha majeraha ya kisaikolojia na kuchochea hisia za kidini, hivyo kunahitajika hatua za haraka kuimarisha umoja wa kitaifa. Amehimiza maombi hayo yashirikishe waumini wa madhehebu zote na kufanyika kwa mfumo mmoja na Kwa siku moja kitaifa".
Taarifa zinaeleza kuwa, mafunzo hayo yatafanyika kuanzia tarehe 16 – 18 Septemba 2025, katika Ukumbi wa Nefaland Hotel Hall, Manzese – Argentina, Dar es Salaam, kuanzia saa 2:00 asubuhi hadi saa 11:00 jioni kila siku.