Mtandao wa Madaktari wa Sudan umetangaza kuwa tangu kuanza kwa vita nchini humo kati ya Jeshi la Sudan na Vikosi vya Mwitikio wa Haraka (RSF) mnamo Aprili 2023, jumla ya wafanyakazi 234 wa afya wameuawa na 507 wengine wamejeruhiwa.
Maafisa wa Israel wametoa tahadhari kwamba Hezbollah, kwa msaada wa kifedha kutoka Iran, imefanikiwa kurejesha uwezo wake wa kijeshi na sasa inachukuliwa kuwa tishio la kimkakati kwa Tel Aviv.