Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Habari la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (IRNA), Dkt. Hussein Jaberi Ansari, amesema kuwa uhuru na uwezo wa taifa ni miongoni mwa mafanikio makubwa na urithi wa kipekee wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Rais Dkt. Mwinyi pia ameswali Sala ya Ijumaa katika Msikiti wa 'Abdallah Rashid', ikiwa ni hatua inayotekeleza utaratibu wake wa kawaida wa kusali katika Misikiti mbalimbali nchini, kwa lengo la kuimarisha mshikamano wa kijamii na kudumisha mahusiano ya karibu kati ya Viongozi na Waumini.