UKIMWI

  • Historia ya ugonjwa wa UKIMWI

    Historia ya ugonjwa wa UKIMWI

    Licha ya wanasansi kuumiza kukosa usingizi kutafuta dawa za matibabu ya ugonjwa huu, wanganga wa jadi pia hawajabaki nyuma katika kufanya jitihada za kutafuta tiba ya ugonjwa huu, na wengine Kama babu wa Loliondo walijaribu kudai kuota dawa ya ugonjwa huu lakini haikusaidia.