Ali Haidari, mtaalamu wa masuala ya Uturuki, amesema katika mazungumzo na ABNA kuwa Israel inajaribu kuunda ukanda wa vizuizi dhidi ya Uturuki ili kuizuia kuwasiliana na Afrika na Ulaya kupitia magharibi mwa Uturuki, na pia kuzuia Ankara kunufaika na rasilimali kubwa za Mediterania.
Baadhi ya viongozi wa kisiasa wa Uingereza, wakiwemo Waziri Mkuu wa nchi hiyo, wametuma salamu za pongezi kwa Waislamu wa Uingereza na ulimwenguni kote kwa mnasaba wa Sikukuu ya Eid al-Adha.