Kwa mujibu wa taarifa ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC), vikosi vyake vimedai kulenga majukwaa ya makombora, maghala ya mafuta na maeneo ya kuhifadhia silaha katika Kambi ya Anga ya Amir Hassan nchini Jordan, katika kile ilichokieleza kuwa ni hatua ya kujibu ukiukaji uliofanywa dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Katika maisha ya kila siku, akili zetu mara nyingi hujaa mawazo hasi, wasiwasi, kumbukumbu chungu, na uzoefu usio na manufaa tena. Kama tunavyofanya usafi wa nyumba wakati wa sikukuu ya Nowruz, vivyo hivyo tunapaswa kufanya “usafi wa akili” zetu pia.