Wizara ya Awqaf (Wakfu) na Mambo ya Kidini imesema kuwa walowezi walivamia Msikiti wa Hajjah Hamidah uliopo Salfit, kaskazini mwa Ukingo wa Magharibi, na kulitaja tukio hilo kuwa “jinai ya kinyama na shambulio la wazi dhidi ya hisia za Waislamu.”
"Tel Aviv imelipa gharama kubwa mno katika damu ya wakaazi (walowezi wa kizayuni) wa maeneo ya Israel (bali ya Palestina yanayokaliwa kwa mabavu na Israel) katika vita na Iran".