Kutokana na kuongezeka kwa mvutano kati ya Marekani na Ukraine, ripoti zinaonyesha kuwa Volodymyr Zelensky anaonesha wasiwasi kuhusu uwezekano wa kuondolewa madarakani na kupungua kwa msaada kutoka Washington, D.C..
Hii inaonyesha hofu ya Rais Zelensky kwamba uhusiano mbaya na Marekani unaweza kuathiri uthabiti wa kisiasa ndani ya Ukraine, pamoja na nguvu yake ya kuendesha sera za kigeni na za kijeshi zinazohitaji msaada wa kimataifa.
Msichana aliyebalehe hivi karibuni au mtu yeyote anayepata ugumu wa kufunga haruhusiwi kuacha kufunga moja kwa moja kwa sababu ya hofu au dhana tu ya ugumu.
Anapaswa kuweka nia ya kufunga mwanzoni mwa siku.
Ikiwa wakati wa kufunga atapata taabu au mashaka makubwa yasiyovumilika, ndipo anarusiwa kufungua.
Siku aliyofungua atalazimika kuilipa (qaḍā’) baada ya Ramadhani.