dhana
-
Je, wasichana waliobalehe hivi karibuni au watu wanaopata ugumu mkubwa kufunga wanaweza kuacha kufunga?
Msichana aliyebalehe hivi karibuni au mtu yeyote anayepata ugumu wa kufunga haruhusiwi kuacha kufunga moja kwa moja kwa sababu ya hofu au dhana tu ya ugumu. Anapaswa kuweka nia ya kufunga mwanzoni mwa siku. Ikiwa wakati wa kufunga atapata taabu au mashaka makubwa yasiyovumilika, ndipo anarusiwa kufungua. Siku aliyofungua atalazimika kuilipa (qaḍā’) baada ya Ramadhani.
-
Kufanyika kwa Vikao vya Kitaaluma Vinavyohusiana na Kongamano la Mfano wa Uongozi wa Shahid Raisi Katika Nchi 6; Kuanzia Iran hadi Malaysia na Iraq
Katibu wa Kwanza wa Kongamano la Kimataifa la Mfano wa Uongozi wa Shahid Ayatollah Dkt. Sayyid Ebrahim Raisi: Kongamano Limekuwa Jukwaa la Kimataifa kwa Ufafanuzi wa Uongozi wa Kiislamu Katibu wa kongamano la kwanza la kimataifa kuhusu mfano wa uongozi wa Shahid Ayatollah Dkt. Sayyid Ebrahim Raisi amesema kuwa, kongamano hili limekuwa jukwaa la kimataifa kwa ajili ya kufafanua dhana ya uongozi wa Kiislamu, kupitia vikao mbalimbali vilivyofanyika katika nchi sita — ambazo ni India, Pakistan, Indonesia, Malaysia, Iraq na Iran.
-
Katika kongamano la Kimataifa la "Sayansi, Dini, na Akili Bandia" lililofanyika Zagreb, Shahriyari:
Akili bandia si dhana bali ni mshirika kwa Binadamu katika kila dakika ya maisha yake
Katibu Mkuu wa Umoja wa Kimataifa wa Kuleta Ukaribu wa Madhehebu ya Kiislamu alisema: Mjadala wa akili bandia ni mpana sana na unahusisha kila nyanja ya maisha ya binadamu, na kila mtu anapaswa kuuhusisha kulingana na wajibu wake mwenyewe.