Iran na Urusi zimekubaliana kuinua kiwango cha mazungumzo yao kuhusu haki za binadamu na kuandaa mtazamo mpya wa pamoja wa kukabiliana na simulizi wanazoliona kuwa la upande mmoja kutoka mataifa ya Magharibi.
Miongoni mwa maukufu (mambo yaliyowekwa wakfu) machache ya Qom yaliyosajiliwa kwa nia ya kuadhimisha maombolezo ya Bibi Fatima Zahra (a.s) na ambayo bado yanaendelea kutumika hadi leo, ni maukufu (yaliyowekwa na Haj Mirza Baqer katika miaka ya ishirini ya karne iliyopita.