Kufunguliwa kwa milango ya Bwawa la Atatürk nchini Uturuki kumesababisha mafuriko makubwa katika maeneo ya Deir ez-Zor na Raqqa nchini Syria, huku zaidi ya hekta 24,000 za mashamba zikiharibiwa na maelfu ya wananchi kulazimika kuhama makazi yao.
Mkuu wa Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametangaza utayari wa nchi yake kwa ajili ya kukomesha ugaidi na kuimarisha usalama wa mipaka ya Iran na Pakistan.