Seneta wa Marekani: Wanafunzi wanaopinga vita vya Ghaza wamesimama upande sahihi wa historia
Bernie Sanders, Seneta wa kujitegemea anayewakilisha jimbo la Vermont nchini Marekani amewasifu wanafunzi wa vyuo vikuu vya nchi hiyo wanaopinga vita katika Ukanda wa Ghaza na kusema, wanafunzi hao wamesimama upande sahihi wa historia.