Main Title

source :
Jumatano

8 Mei 2024

17:57:20
1457185

Utafiti: Wahamiaji nchini Ujerumani wanakabiliwa na umaskini kutokana na ubaguzi wa rangi

Utafiti mpya umebaini kuwa, wahamiaji nchini Ujerumani wanakabiliwa na hatari kubwa ya umaskini kutokana na ubaguzi wa rangi. Haya ni kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na Kituo cha Utangamano na Utafiti wa Masuala ya Wahamiaji cha Ujerumani.

source :
Jumatano

8 Mei 2024

17:56:53
1457184

HRW yaikosoa Marekani kwa kuupa silaha utawala wa Kizayuni

Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch (HRW) limetangaza katika ripoti yake kuwa Israel imetumia silaha kutoka Marekani katika mashambulizi yake dhidi ya eneo la al Habariyeh huko Lebanon.

source :
Jumatano

8 Mei 2024

17:56:25
1457183

Wataalamu wa hali ya Hewa: Mwezi Aprili dunia iliathiriwa na joto kali

Kitengo cha ufuatiliaji wa hali ya hewa cha Ulaya kimeeeleza kuwa dunia ilikumbwa na joto kali mwezi Aprili mwaka huu; kiwango ambacho kimetajwa kuwa ni muendelezo mtawalia wa hali ya joto kali kwa muda wa miezi 11 ambayo haijawahi kushuhudiwa.

source :
Jumatano

8 Mei 2024

17:55:51
1457182

Bahamas yaitambua rasmi Palestina kama nchi

Wizara ya Mambo ya Nje ya Bahamas imetangaza rasmi kuwa inaitambua rasmi Palestina kama nchi.

source :
Jumatano

8 Mei 2024

17:55:11
1457181

Msemaji wa Guterres: Hakuna mtu aliye na haki ya kuitishia Mahakama ya kimataifa ya Jinai (ICC)

Msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameeleza kuwa missada inapasa kuingia Ukanda wa Gaza bila ya kizuizi chochote na kwamba upande wowote haupasi kutoa vitsho kwa wafanyakazi wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC).

source :
Jumatano

8 Mei 2024

17:54:30
1457180

Hija ya kujibari na mushrikina

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema, kwa kuzingatia Aya za Qur'ani Tukufu na kumbukumbu ya jina lililobarikiwa la Nabii Ibrahim (AS), ibada ya Hija ya mwaka huu inapaswa kuwa zaidi ya Hija ya kila mwaka, na inabidi iwe Hija na kutangazwa kujitenga au kujibari na adui wa Waislamu, Mzayuni mtenda uhalifu na wafuasi wake wa nchi za Marekani, Uingereza na Wamagharibi kwa ujumla.

source :
Jumatano

8 Mei 2024

17:53:55
1457179

Eslami: Mienendo ya kiuhasama ya Israel isiathiri uhusiano wa Iran na IAEA

Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran (AEOI) amesema hatua na mienendo ya kiuadui ya utawala wa Kizayuni wa Israel haipasi kuathiri uhusiano na ushirikiano baina ya Tehran na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA).

source :
Jumatano

8 Mei 2024

17:53:17
1457178

Iran yalaani mashambulizi ya Israel huko Rafah, Ukanda wa Gaza

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani vikali mashambulizi ya utawala unaotekeleza mauaji ya kimbari wa Israel katika mji wa Rafah, kusini mwa Ukanda wa Gaza.

source :
Jumatano

8 Mei 2024

17:52:45
1457177

Iran na Oman zataka kukomeshwa haraka jinai za Israel Gaza

Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Oman wametoa mwito wa kukomeshwa haraka iwezekanavyo jinai za utawala haramu wa Israel huko Gaza Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

source :
Jumatano

8 Mei 2024

17:52:01
1457176

Utawala wa Israel wawazuia wafanyakazi wa Umoja wa Mataifa kuingia Rafah

Msemaji wa Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu amesema kuwa, utawala wa Kizayuni unawazuia wafanyakazi wa umoja huo kuingia katika kivuko cha Rafah, kusini mwa Ukanda wa Gaza.

source :
Jumatano

8 Mei 2024

17:51:34
1457175

Kujiweka tayari Wayemen kwa ajili ya kuuzingira utawala wa Kizayuni baharini

Tovuti ya habari ya Ansarullah ya Yemen imeripoti kuwa, jeshi la nchi hiyo limeanza kuratibu operesheni ya pili ya awamu ya nne ya kukabiliana na utawala wa Kizayuni sambamba na kuanza mashambulizi ya utawala ghasibu wa Kizayuni katika mji wa Rafah.

source :
Jumatano

8 Mei 2024

17:50:48
1457174

Misri: Jamii ya kimataifa imeshindwa kuzuia mashambulizi ya Israel katika mji wa Rafah

Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri amesema kuwa jamii ya kimataifa imeshindwa kuzuia mashambulizi ya utawala wa Kizayuni katika mji wa Rafah kusini mwa Ukanda wa Gaza. Sameh Shukry ameeleza haya katika mazungumzo na Mjumbe Maalumu wa Ufaransa katika Masuala ya Lebanon.

source :
Jumanne

7 Mei 2024

18:56:15
1456907

Janga la Mafuriko, maporomoko yaua watu 75 nchini Brazil

Kwa akali watu 75 wamepoteza maisha nchini Brazil baada ya kutokea janga kubwa la mafuriko.

source :
Jumanne

7 Mei 2024

18:55:43
1456906

Borrell: EU na Jamii ya Kimataifa zinapaswa kuzuia uvamizi na mashambulio ya Israel Rafah

Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya amesema, amri iliyotolewa na utawala wa Kizayuni wa Israel ya kuwataka wakazi wa mashariki ya Rafah kusini mwa Ukanda wa Ghaza wahame katika eneo hilo haikubaliki.

source :
Jumanne

7 Mei 2024

18:55:06
1456905

Maseneta 12 wa Marekani waitishia ICC: Mkiiandama Israel tutakuandameni

Maseneta 12 wa chama cha Republican nchini Marekani wameitishia Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kwamba itawekewa vikwazo na Washington endapo itatoa hati za kukamatwa viongozi wakuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel kwa tuhuma za kuhusika na jinai za kivita katika Ukanda wa Ghaza.

source :
Jumanne

7 Mei 2024

18:54:28
1456904

Utayari wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Iran wa kuendesha duru ya pili ya Uchaguzi wa Bunge

Waziri wa Mambo ya Ndani wa Iran ametangaza utayarifu wa wizara hiyo wa kuendesha duru ya pili ya uchaguzi wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge) siku ya Ijumaa ya tarehe 10 Mei.

source :
Jumanne

7 Mei 2024

18:51:01
1456903

Tehran: Ushirikiano wa Iran na IAEA usiathiriwe na mwenendo usio thabiti wa US

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema, kwa kutilia maanani rekodi ya Marekani ya kuhalifu ahadi katika mikataba ya huko nyuma kuhusiana na mpango wa amani wa nyuklia wa Iran, ushirikiano wa Jamhuri ya Kiislamu na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) usiathiriwe na mtazamo na mwenendo usio thabiti na wenye migongano wa Washington.

source :
Jumanne

7 Mei 2024

18:49:21
1456902

Safari ya Grossi nchini Iran na kuwekwa wazi maendeleo ya amani ya nishati ya nyuklia ya Iran

Rafael Grossi, Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA aliwasili mjini Tehran Jumatatu akiongoza ujumbe alioandamana nao kwa ajili ya kushiriki katika mkutano wa kimataifa wa nyuklia na vilevile kufanya mazungumzo na viongozi wakuu wa nyuklia na kisiasa wa nchini.

source :
Jumanne

7 Mei 2024

18:48:34
1456901

Meja Jenerali Salami: Ikiwa Waislamu wataacha jihadi basi wataishi kidhalili

Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (SEPAH) amesema kuwa, ubeberu unaamiliana na ulimwengu wa Kiislamu kwa sera na siasa moja na wala haujali mipaka na kusisitiza kuwa, iwapo adui atadhibiti eneo la Kiislamu basi atapanua hadi sehemu nyingine.

source :
Jumanne

7 Mei 2024

18:48:01
1456900

Mpira katika uwanja wa Israel kuhusu kusitisha mapigano Gaza

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Hossein Amir-Abdollahian amesema mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, Ismail Haniyah amemfahamisha kuhusu jibu la Hamas kwa pendekezo la kusitisha mapigano katika Ukanda wa Gaza.