Main Title

source :
Jumamosi

18 Mei 2024

21:19:52
1459383

Iran: Marekani na Magharibi hazisiti kukiuka sheria za kimataifa

Msemaji wa Serikali ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameasema kuwa sheria za kimataifa zinakabiliwa na udhaifu wa dhamana ya utekelezaji na kusisitiza kuwa: Marekani na nchi za Magharibi kwa ujumla zinakubali sheria za kimataifa kiubaguzi na hazisiti kukanyaga haki hizo kwa kutumia visingizo vya kisiasa.

source :
Jumamosi

18 Mei 2024

21:19:21
1459382

Bagheri: Iran na Russia zimegeuza vikwazo vya Marekani kuwa fursa

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katika Mkutano wa "Russia na Ulimwengu wa Kiislamu" kwamba: Vikwazo vya Marekani vimegeuzwa kuwa fursa kwa busara na viongozi wa Tehran na Moscow.

source :
Jumamosi

18 Mei 2024

21:18:56
1459381

Hamas: Asilimia 70 ya mateka wa Kizayuni wameuawa katika mashambulizi ya Israel

Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetangaza kuwa mashambulizi ya utawala haramu wa Israel katika Ukanda wa Gaza, ambao unakabiliwa na vita vya mauaji ya kimbari ya utawala huo, yameuwa asilimia 70 ya mateka wa Kizayuni, ambao walikuwa wakishikiliwa na harakati hiyo ya muqawama tangu baada ya operesheni ya Kimbunga cha Al Aqsa mwezi Oktoba mwaka jana.

source :
Jumamosi

18 Mei 2024

21:18:26
1459380

Khatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Utawala wa Kizayuni umeshindwa huko Gaza

Khatibu wa Swala ya Ijumaa mjini Tehran amesema: Utawala wa Kizayuni wa Israel haujafanikiwa lolote katika mashambulizi yake huko Gaza isipokuwa kushindwa.

source :
Jumamosi

18 Mei 2024

21:18:01
1459379

Sami Abu Zuhri: Marekani ni mshirika wa jinai dhidi ya taifa la Palestina

Sami Abu Zuhri, Kiiongozii wa Idara ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiiislamu ya Palestina HAMAS nje ya nchi amesema kuwa, serikali ya Marekani ni mshirika wa vita dhidi ya wananchi madhulumu wa Palestina.

source :
Jumamosi

18 Mei 2024

21:17:31
1459378

Wapalestina: Tuko tayari kwa 'vita vya muda mrefu' Rafah

Tawi la kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) limetangaza kuwa Wapalestina wako tayari kwa vita vya muda mrefu, na kuahidi kukabiliana na uvamizi wa nchi kavu wa Israel dhidi ya Rafah, kusini mwa Ukanda wa Gaza na kwingineko.

source :
Ijumaa

17 Mei 2024

13:24:47
1459108

Italia yaitaka Israel isitishe operesheni za kijeshi Rafah

Waziri wa Mambo ya Nje wa Italia ameutaka utawala wa Kizayuni wa Israel ukomesha operesheni zake za kijeshi katika mji wa Rafah, wa kusini mwa Ukanda wa Gaza.

source :
Ijumaa

17 Mei 2024

13:24:14
1459107

Mafanikio ya uvumbuzi wa wanawake wa Iran katika nyanja mbalimbali

Ingawa bado kuna pengo kubwa kati ya wavumbuzi wanawake na wanaume duniani lakini viashiria vilivyopo vinaonyesha kuwa juhudi zinazofanywa na wanawake wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa ajili ya kuziba pengo hilo zinaendelea kwa kasi kubwa.

source :
Ijumaa

17 Mei 2024

13:23:30
1459106

Iran yaikataa taarifa 'isiyokubalika' ya Arab League kuhusu visiwa vyake vitatu vilivyoko Ghuba ya Uajemi

Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetupilia mbali kauli "isiyo na msingi" na "isiyokubalika" iliyotolewa na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kuhusiana na visiwa vitatu vya Abu Musa na Tunb Kubwa na Ndogo vilivyoko katika Ghuba ya Uajemi na kusisitiza kuwa visiwa hivyo vitabaki kuwa milki ya Iran.

source :
Ijumaa

17 Mei 2024

13:23:05
1459105

Viongozi wa Kiarabu waondoka Bahrain bila ya msimamo wowote wa kuiadhibu Israel kwa jinai za Ghaza

Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imetoa wito katika mkutano wa viongozi wa nchi wanachama uliofanyika nchini Bahrain wa kuundwa kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Mataifa katika ardhi za Palestina na kuitishwa mkutano wa kimataifa wa amani, lakini imeshindwa kuidhinisha hatua yoyote ya kuuadhibu kiuchumi na kisiasa utawala wa Kizayuni wa Israel kwa mauaji ya kimbari unayoendelea kufanya dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Ghaza.

source :
Ijumaa

17 Mei 2024

13:22:38
1459104

"Kuna haja ya kuitetea Gaza katika Hija ya mwaka huu"

Rais wa Chuo cha Da'awa ya Kiislamu cha Lebanon amesema ibada ya Hija ya mwaka huu ina umuhimu wa kipekee wakati huu ambapo Wazayuni wanaendelea kumwaga damu za Wapalestina katika Ukanda wa Gaza na kusisitiza kuwa, "Kuna haja ya kuitetea Gaza katika Hija ya mwaka huu."

source :
Ijumaa

17 Mei 2024

13:04:20
1459102

HAMAS: Mashambulio ya Israel yameua 70% ya mateka wa Kizayuni

Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema mashambulizi ya utawala ghasibu wa Israel katika Ukanda wa Ghaza, unaokabiliwa na vita vya mauaji ya kimbari ya utawala huo ghasibu, yameua asilimia 70 ya mateka wa Kizayuni, ambao wanashikiliwa na harakati hiyo ya muqawama tangu ilipotekelezwa operesheni ya mwezi Oktoba ya Kimbunga cha Al-Aqsa.

source :
Ijumaa

17 Mei 2024

13:03:58
1459101

Mawaziri 13 wa Mambo ya Nje wakiwemo 6 wa G7 waitaka Israel isitishe uvamizi wa ardhini wa Rafah

Shirika la habari la DPA la Ujerumani limeripoti kuwa mawaziri wa mambo ya nje kutoka nchi 13 wametia saini barua ya kuuonya na kuutaka utawala wa Kizayuni wa Israel usitishe uvamizi wake wa ardhini katika eneo la Rafah kusini mwa Ukanda wa Ghaza na kuruhusu misaada zaidi kuwafikia Wapalestina.

source :
Ijumaa

17 Mei 2024

13:03:36
1459100

Wazayuni washambulia misafara ya misaada ya kibinadamu huko Gaza

Vyombo vya habari vya utawala wa Kizayuni vimeripoti kuwa, walowezi wa Kizayuni wamekuwa wakishambulia malori yanayobeba misaada ya kibinadamu kwa ajili ya watu wa Gaza karibu na mji mtakatifu wa Quds (Jerusalem) katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu.

source :
Ijumaa

17 Mei 2024

13:02:52
1459099

Afisa Myahudi katika serikali ya Biden ajiuzulu kulalamikia mauaji ya kimbari ya Ghaza

Lily Greenberg Call, msaidizi maalumu wa mkuu wa wafanyakazi katika Idara ya Mambo ya Ndani ya serikali ya Marekani amekuwa mteuliwa wa kwanza wa kisiasa wa Kiyahudi kujiuzulu hadharani akipinga uungaji mkono wa Washington kwa mauaji ya kimbari yanayofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika katika Ukanda wa Ghaza uliowekewa mzingiro.

source :
Ijumaa

17 Mei 2024

13:02:22
1459098

Ireland kuitambua rasmi nchi huru ya Palestina

Waziri wa Mambo ya Nje wa Ireland amesema kuwa, mnamo siku chache zijazo, Dublin itaitambua rasmi nchi huru ya Palestina.

source :
Jumatano

15 Mei 2024

17:15:53
1458819

Katibu Mkuu wa UN alaani mauaji ya wafanyakazi wa afya huko Rafah

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, amelaani mauaji na kujeruhiwa kwa maafisa wa afya wa Umoja wa Mataifa huko Rafah kusini mwa ukanda wa Gaza.

source :
Jumatano

15 Mei 2024

17:15:19
1458818

IDMC: Kuna ongezeko kubwa la ukimbizi wa ndani unaosababishwa na migogoro duniani

Ripoti mpya ya Kituo cha Ufuatiliaji wa Ukimbizi wa Ndani (IDMC) inaonyesha kuwa migogoro na ghasia duniani zimesababisha ongezeko lisilo na kifani la idadi ya wakimbizi wa ndani kufikia mwisho wa 2023.

source :
Jumatano

15 Mei 2024

17:14:22
1458817

Uchunguzi wa Independent: Biden anahusika katika mateso ya njaa ya watu wa Gaza

Uchunguzi uliofanywa na gazeti la Uingereza la The Independent unasema kuwa, Rais wa Marekani, Joe Biden, anahusika katika baa la njaa linalowatesa raia wa Palestina katika Ukanda wa Gaza.

source :
Jumatano

15 Mei 2024

17:13:59
1458816

Iran: Haki za binadamu za Marekani na Israel ni pande mbili za sarafu moja

Ali Kanani Chafi, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema haki za binadamu za Marekani na Israel ni pande mbili za sarafu moja kwani zote zinakiuka pakubwa haki za binadamu dhidi ya mateka na wafungwa, moja huko Negev na nyingine huko Guantanamo na Abu Ghraib.