Main Title

source :
Jumanne

14 Mei 2024

20:35:38
1458591

Askari 1,400 wa Ukraine wauawa Donetsk, Luhansk ndani ya saa 24

Wizara ya Ulinzi ya Russia imetangaza habari ya kuuawa wanajeshi 1,400 wa Ukraine katika muda wa saa 24 katika maeneo ya mashariki ya Luhansk na Donetsk, yaliyojitangazia uhuru mwaka 2014, baada ya kutokea mapinduzi nchini Ukraine.

source :
Jumanne

14 Mei 2024

20:35:01
1458590

FIFA kupiga kura ya kuamua kuifutia uanachama Israel kutokana na jinai zake Gaza

Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) mwezi huu linatarajiwa kupiga kura ya kuamua kuifutia uanchama Israel au la kutokana na kutenda jinai kubwa dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.

source :
Jumanne

14 Mei 2024

20:34:27
1458589

UNICEF yataka kukomeshwa mauaji ya watoto yanayofanywa na Israel Gaza

Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) limetoa mwito wa kukomeshwa mauaji ya kiholela dhidi ya Wapalestina, hasa watoto wadogo katika Ukanda wa Gaza.

source :
Jumanne

14 Mei 2024

20:28:43
1458582

Balozi wa Yemen nchini Iran: Mkutano wa Tehran utaleta maelewano kati ya Iran na Waarabu

Balozi wa Yemen nchini Iran amesema kuwa Mkutano wa Mazungumzo ya Iran na Waarabu uliofanyika mjini Tehran chini ya anwani "Kwa ajili ya Ushirikiano na Maelewano" utaliimarisha taifa la Palestina na kuboresha maelewano kati ya Iran, Waarabu na nchi mbalimbali.

source :
Jumanne

14 Mei 2024

20:28:19
1458581

Familia za wanajeshi waliouawa zamshambulia Waziri wa Usalama wa Israel

Familia za wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel waliouawa vitani Ukanda wa Gaza zimemshambulia Itamar Ben- Gvir Waziri wa Usalama wa Ndani wa utawala wa Kizayuni.

source :
Jumanne

14 Mei 2024

20:27:48
1458580

Nasrullah: Wanajeshi 1,500 wa Israel wameuawa tangu kuanza vita vya Gaza

Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema wanajeshi 1,500 wa Israel wameuawa tangu kuanza vita vya utawala huo haramu dhidi ya Gaza, jambo ambalo limeyalazimu makundi ya muqawama katika eneo la Magharibi mwa Asia, ikiwemo Hizbullah, kuanzisha mashambulizi dhidi ya Israel ili kuilazimisha kukomesha vita hivyo.

source :
Jumanne

14 Mei 2024

20:27:14
1458579

Sababu za kushindwa mazungumzo ya kusitishwa vita vya Gaza

Khalil al-Hayya, Naibu Mkuu wa Hamas katika Ukanda wa Gaza, amefafanua jinsi utawala wa Kizayuni wa Israel ulivyovuruga mazungumzo ya kusitisha mapigano Gaza na kubadilishana mateka.

source :
Jumanne

14 Mei 2024

20:26:46
1458578

Yemen yaonya inaweza kulenga shabaha za adui 'ambazo hawezi hata kuzifikiria'

Jeshi la Yemen limeonya kuwa huenda likazidisha mashambulizi yake ya kuiunga mkono Palestina iwapo utawala wa Israel utaendelea na vita vyake vya mauaji ya halaiki katika Ukanda wa Gaza.

source :
Jumanne

14 Mei 2024

20:26:22
1458577

Amir wa Qatar na Waziri Mkuu wa Malaysia wajadili uhusiano wa pande mbili na hali ya Gaza

Amir wa Qatar Sheikh Tamim bin Hamad Al Thani amekutana na kufanya mazungumzo na Anwar Ibrahim Waziri Mkuu wa Malaysia katika mji mkuu wa nchi hiyo Doha. Waziri Mkuu wa Malaysia yuko nchini Qatar kwa ziara ya siku tatu.

source :
Jumanne

14 Mei 2024

20:25:58
1458576

Makumi ya Wapalestina wauawa katika hujuma za Israel Gaza

Ndege za kivita za utawala wa Kizayuni wa Israel zimefanya mashambulizi mapya ya anga dhidi ya maeneo tofauti ya Ukanda wa Gaza na kuua shahidi makumi ya Wapalestina, wakiwemo watoto wadogo na wanawake.

source :
Jumatatu

13 Mei 2024

15:12:04
1458318

Iran: Amani ya Asia Magharibi inategemea kupokonywa silaha Israel

Iran inasema kuimaishwa amani kamili na ya kweli, utulivu na usalama katika eneo la Asia Magharibi kunategemea kupokonywa silaha kwa utawala ghasibu wa Israel na kukomeshwa kukaliwa kwa mabavu ardhi ya Palestina.

source :
Jumatatu

13 Mei 2024

15:11:40
1458317

Wairani waanza safari ya kulekea ardhi ya Wahy kwa ajili ya ibada ya Hija

Misafara ya kwanza ya Wairani wanaoelekea katika ardhi ya wahyi kwa ajili ya ibada ya Hija imeondoka nchini mapema leo.

source :
Jumatatu

13 Mei 2024

15:11:18
1458316

Azma ya Iran ya kuimarisha ushirikiano na nchi za kieneo

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Hossein Amir Abdollahian amesisitiza katika kikao cha mkutano wa tatu wa Mazungumzo kati ya Iran na Waarabu uliopewa jina la "Kwa Ajili ya Ushirikiano na Maingiliano" kwamba Iran imeazimia kukuza na kuzidisha maelewano na ushirikiano na nchi za eneo la Magharibi mwa Asia.

source :
Jumatatu

13 Mei 2024

15:10:32
1458315

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu atembelea Maonyesho ya Vitabu ya Tehran

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametembelea Maonyesho ya Kimataifa ya Vitabu mjini Tehran

source :
Jumatatu

13 Mei 2024

15:09:54
1458314

Vita vya Gaza na kuibuka mzozo kati ya Imarati na utawala wa Kizayuni

Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) umetangaza kuwa, Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni hana mamlaka ya kisheria ya kuamua kuhusu hatima ya uongozi na uendeshaji wa Gaza baada ya vita.

source :
Jumatatu

13 Mei 2024

15:09:27
1458313

UNRWA: Akiba ya chakula kusini mwa Ghaza inakaribia kwisha kabisa

Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) limetoa indhari kwamba, ikiwa misaada ya kibinadamu haitaingizwa Ghaza, hakutakuwa na chakula chochote cha kuwagaia wakazi wa eneo hilo lililowekewa mzingiro.

source :
Jumatatu

13 Mei 2024

15:09:00
1458312

Maandamano ya kuunga mkono Palestina na Ghaza yaendelea katika miji mbalimbali duniani

Watu wa miji tofauti katika nchi mbalimbali duniani, kwa mara nyingine wamemiminika mabarabarani wakiandamana kuwaunga mkono wananchi madhulumu wa Palestina hususan wa Ukanda wa Ghaza na kulaani jinai za mauaji ya kimbari yanayofanywa na utawala dhalimu wa Kizayuni wa Israel katika eneo hilo.

source :
Jumatatu

13 Mei 2024

15:07:54
1458310

Uingereza yatupilia mbali miito ya kuitaka isitishe uuzaji silaha kwa Israel

Serikali ya Uingereza imekataa miito ya kuitaka ifuate mwelekeo ulioonyeshwa na Marekani wa kutishia kusitisha baadhi ya mauzo ya silaha kwa utawala wa Kizayuni wa Israel ikiwa utafanya operesheni kubwa ya ardhini katika mji wa Rafah kusini mwa Ukanda wa Ghaza unaowapa hifadhi wakimbizi Wapalestina wapatao milioni moja na laki nne.

source :
Jumatatu

13 Mei 2024

15:07:17
1458309

Al-Nakhalah: Muqawama ndilo chaguo bora zaidi la kukomesha kukaliwa kwa mabavu Palestina

Katibu Mkuu wa Harakati ya Jihadul-Islami ya Palestina amesema, Muqawama ndilo chaguo bora zaidi la kukomesha kukaliwa ardhi ya Palestina kwa mabavu.

source :
Jumatatu

13 Mei 2024

15:06:32
1458308

Ripoti: Wahudumu wa afya 500 wameuawa katika mashambulizi ya Israel dhidi ya Gaza

Wizara ya Afya ya Palestina katika Ukanda wa Gaza imetangaza kuwa mashambulizi yanayoendelea kufanywa na Israel yameua mamia ya madaktari na wahudumu wa afya katika eneo hilo linalozingirwa.