Main Title

source :
Alhamisi

2 Mei 2024

16:29:02
1455773

Jitihada za China za kuleta maridhiano ya kitaifa Palestina

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China ametangaza kuwa kufuatia mkutano wa wawakilishi wa harakati za Palestina za Hamas na Fat'h mjini Beijing, pande mbili zimefikia makubaliano ya kujadili maridhiano ya kitaifa huko Palestina.

source :
Alhamisi

2 Mei 2024

16:28:27
1455772

Utawala wa Kizayuni umewatia nguvuni mamia ya wafanyakazi wa Kipalestina

Vyanzo vya habari vya Palestina vimeripoti kuwa Wazayuni maghasibu wamewatia mbaroni zaidi ya wafanyakazi elfu tano wa Kipalestina katika mwaka huu wa 2024 huku hali za kiafya za raia hao wa Kipalestina zikitajwa kuwa mbaya.

source :
Alhamisi

2 Mei 2024

16:28:03
1455771

Colombia yaamua kuvunja uhusiano na Israel kwa sababu ya mauaji ya kimbari ya Ghaza

Colombia imeamua kuvunja uhusiano wake wa kidiplomasia na utawala wa Kizayuni wa Israel kutokana na vita vya kinyama na mauaji ya kimbari yanayoendelea kufanywa na utawala huo haramu dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Ghaza.

source :
Alhamisi

2 Mei 2024

16:27:34
1455770

Baada ya uamuzi wa kihistoria wa Colombia; Hamas yataka mataifa yote kuvunja uhusiano na Israel

Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imepongeza na kukaribisha kwa mikono miwili uamuzi wa Colombia wa kuvunja uhusiano wake na utawala haramu wa Israe.

source :
Jumanne

30 Aprili 2024

16:58:42
1455344

UN: Kombora la balestiki la Korea Kaskazini limetumika kushambulia mji wa Kharkiv, Ukraine

Wachunguzi wa vikwazo wa Umoja wa Mataifa wameiambia kamati ya vikwazo ya Baraza la Usalama la umoja huo kuwa, mabaki ya kombora yaliyopatikana katika mji wa Kharkiv nchini Ukraine mnamo Januari 2 yanatokana na kombora la balestiki la Korea Kaskazini aina ya Hwasong-11.

source :
Jumanne

30 Aprili 2024

16:58:01
1455343

Wanachuo wanaoitetea Palestina Marekani watiwa nguvuni Texas, wasimamishwa masomo Columbia

Polisi nchini Marekani wamekabiliana na wanafunzi wa chuo kikuu katika mji wa Austin jimboni Texas, na kuwakamata makumi ya watu baada ya kubomoa mahema yaliyowekwa kupinga na kulalamikia vita vya kinyama na mauaji ya kimbari yanayofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Ghaza.

source :
Jumanne

30 Aprili 2024

16:57:34
1455342

Mwanasiasa mkongwe wa Uingereza: Sheria ya Rwanda inaharibu sifa ya Uingereza

Alfred Dubs mwanasiasa mkonge ambaye ni mjumbe katika Bunge la Malodi la Uingereza amesema kuwa mpango wa kuhamishia nchini Rwanda kutoka Uingereza raia wanaotafuta hifadhi si sahihi na hautafanikiwa.

source :
Jumanne

30 Aprili 2024

16:57:05
1455341

IRGC: Usaidizi wa nchi 10 duniani kwa Wazayuni haukufua dafu mbele ya Shambulio la Iran

Msemaji wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema nchi 10 ziliusaidia utawala wa Kizayuni katika ulinzi wa anga ili kukabiliana na operesheni ya Ahadi ya Kweli ya kuutia adabu utawala huo, lakini hatimaye Iran ya Kiislamu iliisambaratisha na kuishinda mifumo hiyo ya ulinzi ya nchi hizo zinazotajika.

source :
Jumanne

30 Aprili 2024

16:56:38
1455340

Iran na nchi za Afrika zaunda kamati ya ushirikiano katika sekta ya kilimo

Wizara ya Jihadi ya Kilimo ya Iran imetangaza kuwa Jamhuri ya Kiislamu na nchi za Afrika zimekubaliana kuunda kamati ya ushirikiano wa pamoja katika sekta ya kilimo.

source :
Jumanne

30 Aprili 2024

16:56:13
1455339

Ghuba ya Uajemi ni nyumba yetu

Jumatatu ya jana tarehe 10 Ordibehesht, 1403 Hijria, sawa na Aprili 29, 2024 ilisadifiana na kumbukumbu ya kutimuliwa wakoloni wa Kireno katika maji ya kusini mwa Iran mwaka 1622 Miladia.

source :
Jumanne

30 Aprili 2024

16:55:27
1455338

Ujumbe wa Algeria na azma yake ya kustawisha ushirikiano wa kiteknolojia na Iran

Mkuu wa Chama cha Wafanyabiashara wa Algeria amepongeza maendeleo ya kiteknolojia ya Iran na kusisitiza azma ya nchi hiyo ya kuendeleza ushirikiano wa kiteknolojia na Iran.

source :
Jumanne

30 Aprili 2024

16:54:50
1455337

Kuharibiwa Gaza; Jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya kizazi cha sasa na kijacho

Mwezi wa saba wa vita unamalizika tangu utawala wa Kizayuni uanzishe vita na mauaji ya kimbari dhidi ya Ukanda wa Gaza, huku mashambulizi ya kila siku ya utawala huo yakisababisha maafa na uharibifu mkubwa wa miundombinu ya mji na afya katika ukanda huo.

source :
Jumanne

30 Aprili 2024

16:54:17
1455336

Wapalestina zaidi ya 8,500 wametiwa nguvuni Ukingo wa Magharibi tangu Oktoba 7 hadi sasa

Jumuiya ya kushughulikia mateka wa Kipalestina imetangaza katika ripoti yake kwamba utawala ghasibu wa Kizayuni wa Israel umewatia nguvuni Wapalestina 8,505 katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan tangu tarehe 7 Oktoba 2023 mara baada ya kutekelezwa operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa.

source :
Jumanne

30 Aprili 2024

16:53:45
1455335

Balozi zote za Israel zawekwa kwenye hali ya tahadhari kuhofia waranti wa ICC wa jinai za vita vya Ghaza

Wizara ya Mambo ya Nje ya utawala wa Kizayuni wa Israel imeziagiza balozi zake duniani kote kuwa tayari kwa madhara yanayoweza kutokea iwapo Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) itatoa waranti wa kukamatwa maafisa wa utawala huo kwa uhalifu wa kivita na ukiukaji wa haki za binadamu dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza.

source :
Jumanne

30 Aprili 2024

16:53:19
1455334

Vituo vya utafiti vya Ulaya vyaiunga mkono Palestina na kuiwekea vikwazo Israel

Vituo vya utafiti barani Ulaya vimeuwekea vikwazo utawala wa Kizayuni na kuunga mkono malengo ya Palestina. Viituo hivyo vya utafiti vya Ulaya pia vimelaani jinai za utawala huo unaotekeleza mauaji ya kimbari dhidi ya watu wa Gaza.

source :
Jumanne

30 Aprili 2024

16:52:53
1455333

Ujumbe wa Hamas umeondoka Cairo kwa ajili ya mashauriano zaidi

Ujumbe wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) umeondoka Cairo, mji mkuu wa Misri ili kufanya mashauriano zaidi kuhusu pendekezo jipya lililotolewa kwa ajili ya kubadilishana mateka.

source :
Jumatatu

29 Aprili 2024

19:43:04
1455081

Intelijinsia Marekani: Putin hakuamuru kuuliwa Navalny

Jarida la Wall Street limezinukuu duru za kiintelijinsia za Marekani na kuripoti kuwa Rais Vladmir Putin wa Russia hakuagiza kuuawa mwanasiasa wa upinzani wa nchi hiyo, Alexei Navalny, aliyefia gerezani mwezi Februari mwaka huu.

source :
Jumatatu

29 Aprili 2024

19:42:20
1455080

Abbas: Utawala wa Kizayuni umeangamiza asilimia 75 ya Ukanda wa Gaza

Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesema kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel umeangamiza asilimia 75 ya nyumba, miundombinu ya barabara, vyuo vikuu, misikiti na miundo msingi mingine ya Ukanda wa Gaza.

source :
Jumatatu

29 Aprili 2024

19:41:32
1455079

Wasiwasi wa Russia kuhusu kusambaa zaidi ugaidi kutokea Afghanistan

Waziri wa Ulinzi wa Russia ametangaza kuwa tishio kuu kwa Asia ya Kati ni kutoka kwa makundi ya kigaidi yenye misimamo mikali yenye makao makuu nchini Afghanistan.

source :
Jumatatu

29 Aprili 2024

19:40:44
1455078

Mgombea wa uchaguzi wa rais Marekani atiwa nguvuni katika maandamano ya watetezi wa Palestina

Polisi nchini Marekani imemtia nguvuni mgombea wa kiti cha urais katika uchaguzi wa mwaka huu nchini humo ambaye alikuwa katika maandamano ya kuiunga mkono Palestina yaliyofanyika katika Chuo Kikuu cha Washington.