Main Title

source :
Jumatatu

13 Mei 2024

15:06:08
1458307

Hizbullah yazindua kombora jipya katika shambulio dhidi jeshi la Israel

Harakati ya muqawama ya Hizbullah ya Lebanon imetumia kwa mara ya kwanza kombora zito kushambulia eneo la kijeshi la Israel katika sehemu ya kaskazini ya maeneo yaliyokaliwa kwa mabavu mwaka 1948 kwa ajili ya kulipiza kisasi vita vya umwagaji damu vya Israel dhidi ya Gaza.

source :
Jumatatu

13 Mei 2024

15:05:41
1458306

Mfumo wa huduma ya afya wa Gaza unakaribia kusambaratika kabisa

Wizara ya Afya ya Palestina katika Ukanda wa Gaza, ambayo inaendelea kustahamili vita vya mauaji ya kimbari vinavyotekelezwa na utawala haramu wa Israel katika eneo hilo imeonya kuhusu kusambaratika kabisa mfumo mzima wa afya katika eneo hilo.

source :
Jumapili

12 Mei 2024

20:10:01
1458109

Polisi wa Uswidi washambulia waandamanaji wanaounga mkono Palestina katika fainali ya Eurovision

Polisi wa Uswidi wamewashambulia waandamanaji wanaounga mkono Palestina wanaopinga ushiriki wa utawala wa Israel katika Mashindano ya Muziki ya Eurovision kusini mwa Uswidi.

source :
Jumapili

12 Mei 2024

20:09:34
1458108

Kukanushwa madai ya Israeli na serikali ya Uturuki

Kufuatia kufichuliwa kufutwa vikwazo vya kiuchumi na kibiashara vya Uturuki dhidi ya utawala wa kibaguzi wa Israel, mivutano kati ya pande hizo mbili imeshtadi katika vyombo vya habari vya eneo na kimataifa.

source :
Jumapili

12 Mei 2024

20:08:58
1458107

Rais wa Colombia: Netanyahu ataingia katika historia kama mhalifu wa mauaji ya kimbari

Rais Gustavo Petro wa Colombia amemshambulia kwa maneno Waziri Mkuu wa utawala wa Israel Benjamin Netanyahu akisema historia itamuandika kama mhalifu wa mauaji ya kimbari.

source :
Jumapili

12 Mei 2024

20:07:58
1458104

Borrel asema uhamisho hauvumiliki; aikosoa Israel kwa kuwahamisha kwa lazima Wapalestina katika mji wa Rafah

Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya amelaani na kuitaja kuwa isiyovumilika hatua ya utawal wa Israel ya kuwaondoa kwa lazima raia wa Kipalestina katika mji wa Rafah kusini mwa Ukanda wa Gaza. Utawala wa kizayuni umechukua hatua hii huku ukijiandaa kuanzisha mashambulizi makubwa ya ardhini katika mji huo.

source :
Jumapili

12 Mei 2024

20:07:31
1458103

Iran: Israel haijawahi kutengwa kiasi hiki katika historia yake bandia

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ameashiria hatua ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa UNGA ya kupasisha rasimu ya azimio la kutaka kutazamwa upya suala la taifa la Palestina kupewa uanachama kamili katika umoja huo na kusema kuwa, utawala haramu wa Israel haujawahi kutengwa kwa kiwango kikubwa kama cha sasa katika historia yake bandia.

source :
Jumapili

12 Mei 2024

20:07:01
1458102

IRGC: Operesheni ya Ahadi ya Kweli ilikuwa jibu la Iran kwa makosa ya Israel

Msemaji wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema Operesheni ya Ahadi ya Kweli ya Iran ilikuwa hatua ya wakati muafaka ya kutoa adhabu kwa kosa la kistratijia la utawala wa Kizayuni wa Israel la kushambulia jengo la kidiplomasia la Jamhuri ya Kiislamu nchini Syria.

source :
Jumapili

12 Mei 2024

20:06:41
1458101

Balozi wa Iran nchini Iraq: Usalama wa taifa ni mstari mwekundu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

Balozi wa Iran nchini Iraq ameashiria uhusiano mkubwa na wa kistratejia kati ya nchi mbili na kusema: Usalama wa taifa ni mstari mwekundu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

source :
Jumapili

12 Mei 2024

20:06:13
1458099

Afisa wa Hamas: Muqawama wa Gaza umeweza kukabiliana kwa mafanikio na vita vya dunia

Sami Abu Zuhri, ambaye ni miongoni mwa viongozi wa ngazi za juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS), amesema kwamba Muqawama na mapambano ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza yamefanikiwa kukabiliana na "vita vya kimataifa," na nchi zilizoifadhili Israel sasa zinaanza kusitisha uungaji mkono wao kwa utawala huo.

source :
Jumapili

12 Mei 2024

20:05:44
1458098

Hizbullah yatekeleza mashambulizi ya mizinga na droni dhidi ya ngome za Israel

Wapiganaji wa harakati ya mapambano ya Kiislamu ya Lebanon, Hizbullah, wamefanya mashambulizi kadhaa ya kijeshi kwa kutumia ndege zisizo na rubani (droni) na mizinga dhidi ya maeneo ya kijeshi ya utawala haramu wa Israel kaskazini mwa maeneo yanayokaliwa kwa mabavu ili kulipiza kisasi kwa mashambulizi ya utawala huo dhidi ya Ukanda wa Gaza.

source :
Jumapili

12 Mei 2024

20:05:22
1458097

Mtangazaji nguli wa soka Uingereza: Yanayojiri Gaza ni mabaya zaidi kuliko yote niliyoshuhudia maishani

Mtangazaji nguli wa soka wa Uingereza, Gary Lineker ameema mauaji yanayofanywa na jeshi la Israel katika eneo la Ukanda wa Gaza huko Palestina ndio mabaya zaidi aliyowahi kushuhudia katika kipindi chote cha maisha yake.

source :
Jumapili

12 Mei 2024

20:04:48
1458096

Jihad Islami: Israel haitatimiza malengo yake kwa mashambulizi ya kikatili ya Gaza

Harakati ya Jihad Islami ya Palestina imesema Israel haitaweza kufikia malengo yake katika Ukanda wa Gaza kupitia mashambulizi yake ya kikatili dhidi ya Wapalestina.

source :
Jumamosi

11 Mei 2024

19:49:53
1457852

Rais wa Colombia aitaka ICC itoe waranti wa kukamatwa Netanyahu

Rais Gustavo Petro wa Colombia ameiasa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kutoa waranti wa kumtia nguvuni Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel kwa tuhuma za kuhusika na jinai za kivita katika Ukanda wa Gaza.

source :
Jumamosi

11 Mei 2024

19:49:17
1457851

Kuidhinishwa rasimu ya uanachama kamili wa Palestina katika Umoja wa Mataifa

Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA) hatimaye limeipigia kura ya ndio rasimu ya uanachama kamili wa Palestina katika umoja huo baada ya Marekani kukwamisha suala hilo kwa miaka kadhaa.

source :
Jumamosi

11 Mei 2024

19:48:45
1457850

WHO: Mkataba wa majanga wakwama kuidhinishwa

Nchi 194 wanachama wa Shirika la Afya Duniani (WHO) zimeshindwa kuafikiana juu ya mkataba uliotafutwa kwa muda mrefu wa kujiandaa kwa ajili ya kukabiliana na majanga.

source :
Jumamosi

11 Mei 2024

19:48:07
1457849

Maonyesho ya 28 ya Kimataifa ya Mafuta na Gesi ya Tehran

Maonyesho ya 28 ya Kimataifa ya Mafuta, Gesi, Viwanda vya Usafishaji na Petrokemikali ya Iran yalianza Jumatano wiki hii mjini Tehran kwa kushirikisha zaidi ya makampuni 1,500 ya ndani na 250 ya kigeni.

source :
Jumamosi

11 Mei 2024

19:47:33
1457848

Iran: Kuipa uanachama Palestina, ni hatua ya kwanza ya kukabiliana na dhulma

Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema Tehran inakaribisha hatua ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa UNGA ya kupasisha azimio la kutaka kutazamwa upya suala la taifa la Palestina kupewa uanachama kamili katika umoja huo.

source :
Jumamosi

11 Mei 2024

19:46:58
1457847

Nasser Kan'ani: Jeshi la SEPAH ni mbeba bendera ya kupambana na ugaidi

Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran amesema kuwa, mpango wa Bunge la Kanada wa kuwatangaza Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu kuwa ni magaidi ni hatua isiyo ya busara, ya kiuadui na kinyume na viwango na kanuni zinazokubalika za sheria za kimataifa.

source :
Jumamosi

11 Mei 2024

19:46:11
1457846

Mazungumzo ya kusitisha vita Gaza yakwama, wajumbe wa Hamas na Israe waondoka Cairo

Mazungumzo yaliyokuwa na lengo la kuhitimisha vita vya Gaza yaliyokuwa yakifanyika huko Cairo Misri yamekwama na pande mbili zimeshindwa kufikia makubaliano.