Kwa mujibu wa ripoti ya Shirika la Habari la Kimataifa la Ahl al-Bayt (AS) - Abna - Kundi la Wanafunzi na Wanaharakati wa Mashirika ya Wanafunzi kote nchini (Iran), jana Alasiri (Jumatano) walikutana na Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatollah Khamenei katika siku ya kumi na moja (11) ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
13 Machi 2025 - 15:41
News ID: 1542320
Your Comment