Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Ahlul-Bayt (a.s) - Abna -, Wapalestina wanaoishi Beit Lahia Kaskazini mwa Ukanda wa Gaza wanafturu katika mfungo huu wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwenye Magofu ya Msikiti wa Salim Abu Muslim. Ikumbukwe kuwa Msikiti wa Salim Abu Muslim huko Beit Lahia uliharibiwa katika mashambulizi ya majeshi haram ya Kizayuni.
16 Machi 2025 - 20:00
News ID: 1543020
Your Comment