Kwa mujibu wa ripoti ya Shirika la Habari la Kimataifa la Ahl al-Bayt (AS) - Abna -; Katika siku ya kwanza ya Mwaka Mpya wa 1404, Mwaka wa "Uwekezaji kwa ajili ya Uzalishaji", Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu leo asubuhi (21/03/2025 Ijumaa) alihudhuria katika Husseiniyyah ya Imam Khomeini (Mwenyezi Mungu Amrehemu) na kutoa Hotuba kwa watu wa matabaka mbalibali wa Tehran na kundi la viongozi.
21 Machi 2025 - 16:42
News ID: 1544058
Your Comment