Watu 12 wameuawa kutokana na shambulio la kigaidi lililofanyika kwenye ofisi za jarida moja mjini Paris Ufaransa. Kwa mujibu wa taarifa, watu wengine zaidi ya 10 walijeruhiwa katika shambulio hilo.
7 Januari 2015 - 19:42
News ID: 663370