Watu 5 Wasio Wanajeshi, Wakiwemo Mtoto Mmoja, Wauawa Katika Shambulio la Mizinga la Jeshi la India Katika Eneo la Kashmir Linalodhibitiwa na Pakistan.
Makazi ya Wazayuni ya "Sadirot" yalilengwa kwa shambulio la roketi.
Jana usiku utawala wa Kizayuni ulishambulia jengo la makazi kwa mashambulizi ya anga bila ya kutoa tahadhari ya awali.
Katika taarifa yake mpya, Netanyahu ameonya dhidi ya Hamas kubakia katika Ukanda wa Gaza.