Mwezi mosi Dhulqaada: Dunia imeangaziwa na nuru ya kuzaliwa kwa Fatuma Maasumah (a.s)
Tunapokea mwezi wa Dhulqaada kwa kusherehekea kumbukumbu ya kuzaliwa kwa tawi tukufu miongoni mwa matawi ya mtu wa baraka, mwezi mosi Dhlqaada ni siku aliyo zaliwa bibi Fatuma bint wa Imamu Mussa Alkadhim mototo wa Imamu Jafari Swadiq (a.s) anayejulikana kwa jina la Maasumah.