Hizbullah
-
Hatuwezi maliza mgogoro wa Syria bila Bashar Asad
Suluhisho lolote katika mapigano nchini Syria linapaswa kumuhusisha pia rais Bashar al-Assad, mjumbe maalum wa Umoja wa Mataifa nchini Syria amesema katika hatua ya kwanza ya Umoja wa Mataifa kukiri hilo.
-
Picha za mazishi ya askari wa Hizbullah aliyeuawa katika mashambuli yaliyofanywa na Israel
Haya ni mazishi ya Shahid Jihad Ammad Mughiyah ambaye amefariki kufuatia shambulizi lililofanywa na Israel dhidi ya wanajeshi wa Hizbollah na kuua askari 7, ambapo askari sita ni wa makomando wa Hizbullah na mmoja ni Jenerali wa jeshi la Jamhuri ya kiislamu ya Iran Jeneral Muhammad Ali Alahh Dodii. Shahid Jihad Ammad Mughiyah amezikwa katika makaburi ya Raudhatu Shahiidin, amezikwa pembeni ya kaburi la babake Shahiid Alhaj Ammad Mughniyah ambaye alikuwa ni Jeneral wa Jeshi la Hizbullah.
-
Ujumbe wa maneno mawili wa Kiongozi wa Hizbollah kwa Israel
Kiongozi wa Hizbullah Sayyid Hasan Nasrullah ametoa ujumbe wa maneno mawili kwa serikali ya Israel kufuatia shambulizi lililofanywa na Israel dhidi ya wanajeshi wa Hizbollah na kuua askari 7, ambapo askari sita ni wa makomando wa Hizbullah na mmoja ni Jenerali wa jeshi la Jamhuri ya kiislamu ya Iran Jeneral Muhammad Ali Alahh Dodii.