Jana, Benjamin Netanyahu, Gideon Sa’ar Waziri wa Mambo ya Nje wa utawala wa Kizayuni, pamoja na Abdirahman Mohamed Abdullahi, rais wa kujitangaza wa Somaliland, walitia saini tamko la pamoja la kuitambua Somaliland kama nchi huru na inayojitegemea.
Mazungumzo ya moja kwa moja kati ya Syria na utawala haram wa Kizayuni (Israel) ni jambo ambalo kwa muda mrefu limeonekana kama hali isiyowezekana kutokana na migogoro ya kihistoria na migawanyiko ya kisiasa.